1 Chronicles 25:31
31 ▼
▼ In this translation, this verse contains text which in some other translations appears in verses 1Nya 25:8-1Nya 25:31.
bVijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura. cv cKura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yusufu, wanawe na jamaa zake, | 12 |
Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, | 12 |
cv Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya nne ikamwangukia Isri, ▼ ▼ Isri jina lingine ni Seri. wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya saba ikamwangukia Yesarela, ▼ ▼ Yesarela jina lingine ni Asarela. wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, ▼ ▼ Azareli jina lingine ni Uzieli. wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, | 12 |
cv gya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, | 12. |
Copyright information for
SwhKC